Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela) Zaburi 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Misiba inayonizunguka ni mingi sana haihesabiki.+ Makosa yangu mengi yananilemea hivi kwamba siwezi kuona njia yangu;+Ni mengi sana kuliko nywele za kichwa changu,Nami nimevunjika moyo.
5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)
12 Misiba inayonizunguka ni mingi sana haihesabiki.+ Makosa yangu mengi yananilemea hivi kwamba siwezi kuona njia yangu;+Ni mengi sana kuliko nywele za kichwa changu,Nami nimevunjika moyo.