Isaya 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu.
18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu.