Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kisha nabii Miriamu, dada ya Haruni, akachukua tari, na wanawake wote wakamfuata wakiwa na matari yao wakicheza dansi. 21 Miriamu akaimba hivi akiwaitikia wanaume:

      “Mwimbieni Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.”+

  • Esta 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndiyo sababu Wayahudi wa mashambani walioishi katika majiji ya wilaya zilizo mbali waliifanya siku ya 14 ya mwezi wa Adari iwe siku ya karamu na kushangilia, siku ya kusherehekea,+ na siku ya kupeana mafungu ya vyakula.+

  • Esta 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kwa sababu katika siku hizo Wayahudi walipumzika kutokana na usumbufu wa maadui wao, na mwezi huo huzuni yao ikageuzwa kuwa shangwe, na maombolezo yao+ kuwa siku ya kusherehekea. Walipaswa kuadhimisha siku hizo zikiwa siku za karamu na kushangilia, za kupeana mafungu ya vyakula, na za kuwapa maskini zawadi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki