Mathayo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, mambo yanayotoka kinywani hutoka moyoni, nayo ndiyo yanayomchafua mtu.+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+ Yakobo 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.* Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+
29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+
6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.*
9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+