Methali 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anayemrekebisha mtu mwenye dhihaka hualika aibu,+Na yeyote anayemkaripia mtu mwovu ataumia. Methali 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Usimjibu mpumbavu kulingana na ujinga wake,Ili usiwe kama yeye.*