Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naam, hivyo ndivyo walivyo waovu, ambao sikuzote wanastarehe.+

      Wanaendelea kuongeza mali zao.+

  • Zaburi 73:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hakika unawaweka kwenye ardhi yenye utelezi.+

      Unawafanya waanguke katika uharibifu wao.+

  • 1 Wathesalonike 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakati watakapokuwa wakisema: “Amani na usalama!” ndipo uharibifu wa ghafla utakapowapata mara moja,+ kama vile maumivu ya kuzaa ya mwanamke mwenye mimba, nao hawataponyoka kamwe.

  • Ufunuo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo, endelea kuzingatia* jinsi ulivyopokea na jinsi ulivyosikia, na uendelee kulishika, na utubu.+ Hakika usipoamka, nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua kamwe saa nitakayokuja juu yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki