3 Wakati watakapokuwa wakisema: “Amani na usalama!” ndipo uharibifu wa ghafla utakapowapata mara moja,+ kama vile maumivu ya kuzaa ya mwanamke mwenye mimba, nao hawataponyoka kamwe.
3 Kwa hiyo, endelea kuzingatia* jinsi ulivyopokea na jinsi ulivyosikia, na uendelee kulishika, na utubu.+ Hakika usipoamka, nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua kamwe saa nitakayokuja juu yako.+