Zaburi 85:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Umelisamehe kosa la watu wako;Ulisamehe* dhambi yao yote.+ (Sela) 3 Uliizuia ghadhabu yako yote;Uliiacha hasira yako kali.+ Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+
2 Umelisamehe kosa la watu wako;Ulisamehe* dhambi yao yote.+ (Sela) 3 Uliizuia ghadhabu yako yote;Uliiacha hasira yako kali.+
12 Siku hiyo hakika utasema: “Ninakushukuru, Ee Yehova,Kwa maana ingawa ulinikasirikia,Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+