Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni tumaini la uwongo la wokovu;*+Nguvu zake nyingi hazimhakikishii mtu kwamba ataponyoka. Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+Lakini wokovu ni wa Yehova.+