Isaya 49:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe. Yeremia 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+
25 Lakini Yehova anasema hivi: “Hata mateka wa mtu mwenye nguvu watachukuliwa,+Na wale waliotekwa na mtu mkatili wataokolewa.+ Nitawapinga wale wanaokupinga,+Nami nitawaokoa wana wako mwenyewe.
18 “Siku hizo watatembea pamoja, nyumba ya Yuda kando ya nyumba ya Israeli,+ na pamoja watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi niliyowapa mababu zenu kuwa urithi.+