Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Yeremia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao na baba zao hawajayajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza kabisa.’+ Yeremia 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ndipo upanga uleule ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri, na njaa ileile ambayo mnaogopa itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.+
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
16 Nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao na baba zao hawajayajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza kabisa.’+
16 ndipo upanga uleule ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri, na njaa ileile ambayo mnaogopa itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.+