Mambo ya Walawi 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yule aliyenunua shamba hilo akiliacha wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50, litakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova, shamba lililotolewa kwa ajili yake. Litakuwa mali ya makuhani.+ Hesabu 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kila kitu kilichotolewa kwa ajili yangu* katika Israeli kinapaswa kuwa chako.+
21 Yule aliyenunua shamba hilo akiliacha wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50, litakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova, shamba lililotolewa kwa ajili yake. Litakuwa mali ya makuhani.+