Yeremia 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+ Yeremia 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.*
20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zitamwagwa mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na mazao ya ardhi; itateketeza na haitazimwa.’+
12 Waangamizaji wamekuja kwenye vijia vyote vya nyikani vilivyokanyagwa sana,Kwa maana upanga wa Yehova unanyafua kuanzia mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho wa pili.+ Hakuna amani kwa yeyote.*