14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
23 Kwa hiyo, ninyi wanawake hamtaona tena maono ya uwongo na kufanya uaguzi;*+ nami nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”