Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wale wanaosema: “Na aharakishe kazi yake;

      Na ije upesi ili tuione.

      Kusudi la* Mtakatifu wa Israeli na litimizwe

      Ili tulijue!”+

  • Isaya 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ninyi watu mnasema:

      “Tumefanya agano na Kifo,+

      Na tumefanya mapatano* na Kaburi.*

      Mafuriko makubwa ya ghafla yatakapopita,

      Hayatatufikia,

      Kwa maana tumeufanya uwongo kuwa kimbilio letu

      Nasi tumejificha katika udanganyifu.”+

  • 2 Petro 3:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwanza kabisa mjue kwamba katika siku za mwisho wadhihaki watakuja na dhihaka zao, wakitenda kulingana na tamaa zao wenyewe+ 4 na kusema: “Kuko wapi huko kuwapo kwake kulikoahidiwa?+ Kwani tangu siku mababu zetu walipolala usingizi katika kifo, mambo yote yanaendelea kama yalivyokuwa tangu mwanzo wa uumbaji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki