Mika 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao: Sefania 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+
5 Yehova anasema hivi kuhusu manabii wanaowapotosha watu wake,+Wanaotangaza ‘Amani!’+ huku wakitafuna* kwa meno yao+Lakini wanaotangaza* vita dhidi ya yule asiyeweka kitu vinywani mwao:
4 Manabii wake ni wakaidi, wanaume wenye hila.+ Makuhani wake wanachafua kilicho kitakatifu;+Wanaitendea sheria kikatili.+