Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+

  • Ezekieli 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘“Lakini nitaacha wengine wabaki, kwa maana baadhi yenu wataponyoka upanga miongoni mwa mataifa mtakapotawanywa katika nchi mbalimbali.+

  • Mika 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Waliobaki wa Yakobo watakuwa miongoni mwa mataifa mengi

      Kama umande kutoka kwa Yehova,

      Kama manyunyu ya mvua juu ya mimea

      Ambayo hayamtumaini mwanadamu

      Wala kuwangojea wana wa wanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki