Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 3:18-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova ataondoa umaridadi wa bangili zao,

      Tepe za kichwani na mapambo yenye umbo la mwezi mwandamo,+

      19 Herini,* vikuku, na shela,

      20 Vitambaa vya kichwani, mafurungu, na mavazi ya kifuani,*

      Chupa za marashi* na hirizi,*

      21 Pete za vidole na pete za puani,

      22 Kanzu za sherehe, kanzu fupi za nje, majoho, na mikoba,

      23 Vioo vya mkononi+ na mavazi ya kitani,*

      Vilemba na shela.

  • Ezekieli 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Watakuvua mavazi yako+ na kuchukua vito vyako* maridadi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki