Isaya 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa, tafadhali, acheni niwaambieKile nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Nitaondoa uzio wake,Nalo litateketezwa kabisa.+ Nitaubomoa ukuta wake wa mawe,Nalo litakanyagwa-kanyagwa. Ezekieli 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kama mbao za mzabibu kati ya miti ya msituni, ambazo nimezitoa ziwe kuni kwa ajili ya moto, ndivyo nitakavyoshughulika na wakaaji wa Yerusalemu.+
5 Sasa, tafadhali, acheni niwaambieKile nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Nitaondoa uzio wake,Nalo litateketezwa kabisa.+ Nitaubomoa ukuta wake wa mawe,Nalo litakanyagwa-kanyagwa.
6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kama mbao za mzabibu kati ya miti ya msituni, ambazo nimezitoa ziwe kuni kwa ajili ya moto, ndivyo nitakavyoshughulika na wakaaji wa Yerusalemu.+