Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa* Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga pande zote kuanzia kwenye Kilima*+ kuja ndani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Isitoshe, Uzia alijenga minara+ Yerusalemu karibu na Lango la Pembeni,+ Lango la Bondeni,+ na Nguzo ya Kutegemeza Ukuta, naye akaiimarisha.

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hezekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja akikusudia kulishambulia jiji la Yerusalemu,

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Zaidi ya hayo, akiwa ameazimia, alijenga upya ukuta wote uliobomolewa, akajenga minara juu yake, na kujenga ukuta mwingine upande wa nje. Alirekebisha pia Kilima*+ cha Jiji la Daudi na kutengeneza silaha nyingi na ngao.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya hayo alijenga ukuta wa nje wa Jiji la Daudi+ upande wa magharibi wa Gihoni,+ bondeni,* na mpaka kwenye Lango la Samaki,+ akauzungusha hadi Ofeli,+ na kuufanya uwe mrefu sana. Zaidi ya hayo, aliwaweka wakuu wa jeshi katika majiji yote yenye ngome nchini Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki