Mambo ya Walawi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Usifanye ngono na mke wa jirani yako* na hivyo kujichafua.+ Mambo ya Walawi 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+ Yeremia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao ni kama farasi wenye tamaa na uchu,Kila mmoja anamlilia mke wa mwenzake.+
10 “‘Ifuatayo ni sheria kuhusu mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine: Mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake lazima auawe; mwanamume huyo na mwanamke aliyefanya naye uzinzi lazima wauawe.+