3 Mimi mwenyewe nitamkataa* mtu huyo, nami nitamwangamiza, kwa sababu amemtoa mtoto wake dhabihu kwa Moleki, ametia unajisi mahali pangu patakatifu+ na kulichafua jina langu takatifu.
2 “Mwambie Haruni na wanawe kwamba wanapaswa kuwa waangalifu kuhusu wanavyoshughulikia* vitu vitakatifu vya Waisraeli, nao wasichafue jina langu takatifu+ kuhusu vitu wanavyotakasa kwa ajili yangu.+ Mimi ni Yehova.