Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 3:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku za mfalme Yosia,+ Yehova aliniambia: “‘Je, umeona mambo ambayo Israeli asiye mwaminifu ametenda? Amepanda juu ya kila mlima mrefu na kwenda chini ya kila mti wenye majani mengi ili afanye ukahaba.+ 7 Hata baada ya kufanya mambo hayo yote, niliendelea kumwambia arudi kwangu,+ lakini hakurudi; na Yuda akaendelea kumtazama dada yake mwenye hila.+ 8 Nilipoona hivyo, nikamfukuza Israeli asiye mwaminifu akiwa na cheti kamili cha talaka+ kwa sababu ya uzinzi wake.+ Lakini Yuda dada yake mwenye hila hakuogopa; yeye pia alienda na kufanya ukahaba.+

  • Ezekieli 16:46, 47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 “‘Dada yako mkubwa ni Samaria,+ anayekaa upande wako wa kaskazini* pamoja na mabinti zake,*+ na dada yako mdogo, anayekaa upande wako wa kusini,* ni Sodoma+ pamoja na mabinti zake.+ 47 Hukutembea tu katika njia zao na kufuata mazoea yao yanayochukiza, bali pia kwa muda mfupi mwenendo wako ulikuwa mpotovu hata zaidi kuliko mwenendo wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki