Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini umetenda mambo mabaya zaidi kuliko wote waliokutangulia, nawe ulijitengenezea mungu mwingine na sanamu za chuma* ili kunikasirisha,+ mimi ndiye uliyenigeuzia mgongo.+

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, hawakutii, bali walikuasi+ na kuigeuzia mgongo Sheria yako.* Wakawaua manabii wako waliowaonya wakurudie, nao wakatenda matendo makubwa ya ukosefu wa heshima.+

  • Isaya 17:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umemsahau Mungu+ wa wokovu wako;

      Hukumkumbuka Mwamba+ wa ngome yako.

      Ndiyo sababu unapanda mashamba makubwa maridadi*

      Na kupanda humo chipukizi la mgeni.*

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake,

      Na bibi harusi mavazi yake ya kifuani?*

      Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa siku zisizohesabika.+

  • Yeremia 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hii ndiyo kura yako, fungu nililokupimia,” asema Yehova,

      “Kwa sababu umenisahau+ nawe unautumaini uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki