2 Yehova alipoanza kusema neno lake kupitia Hosea, Yehova alimwambia hivi Hosea: “Nenda, muoe mwanamke kahaba* na uzae watoto wa ukahaba,* kwa sababu nchi imeacha kabisa kumfuata Yehova kwa sababu ya ukahaba.”*+
4 Enyi wazinzi,* je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu? Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+