-
Ezekieli 33:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 “‘Ninapomwambia mtu mwovu: “Hakika utakufa,” naye aiache dhambi yake na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu,+ 15 na mtu huyo mwovu arudishe kitu kilichowekwa rehani+ na kulipa vitu alivyomnyang’anya mwingine,+ naye atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda kosa, hakika ataendelea kuishi.+ Hatakufa.
-