Isaya 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ameunyoosha mkono wake juu ya bahari;Amezitikisa falme. Yehova ameamuru ngome za Foinike ziangamizwe.+ Amosi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi nitaushushia moto ukuta wa Tiro,Nao utateketeza kabisa minara yake yenye ngome.’+ Zekaria 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Yehova atachukua mali za jiji hilo,Naye ataliangamiza jeshi lake baharini;+Na jiji hilo litateketezwa motoni.+
11 Ameunyoosha mkono wake juu ya bahari;Amezitikisa falme. Yehova ameamuru ngome za Foinike ziangamizwe.+
4 Tazama! Yehova atachukua mali za jiji hilo,Naye ataliangamiza jeshi lake baharini;+Na jiji hilo litateketezwa motoni.+