Yeremia 43:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaziwasha moto nyumba za* miungu ya Misri,+ naye ataiteketeza na kuichukua mateka. Atajifunika kwa nchi ya Misri kama mchungaji anavyojifunika kwa vazi lake, naye ataondoka huko kwa amani.* Yeremia 46:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.
12 Nami nitaziwasha moto nyumba za* miungu ya Misri,+ naye ataiteketeza na kuichukua mateka. Atajifunika kwa nchi ya Misri kama mchungaji anavyojifunika kwa vazi lake, naye ataondoka huko kwa amani.*
14 “Lisemeni katika Misri, litangazeni huko Migdoli.+ Litangazeni huko Nofu* na Tahpanhesi.+ Semeni, ‘Shikeni nafasi zenu na mjitayarishe,Kwa maana upanga utanyafua pande zote kuwazunguka.