Kumbukumbu la Torati 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Msile kitu chochote kinachochukiza.+ Isaya 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaketi kati ya makaburi,+Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*Wakila nyama ya nguruwe,+Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+ Isaya 66:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.
4 Wanaketi kati ya makaburi,+Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*Wakila nyama ya nguruwe,+Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+
17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.