Danieli 7:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Belshaza+ wa Babiloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake.+ Kisha akaandika ndoto hiyo;+ akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo. Danieli 8:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza,+ mimi, Danieli, niliona maono, baada ya yale niliyoona mwanzoni.+
7 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Belshaza+ wa Babiloni, Danieli aliota ndoto na kuona maono akiwa amelala kitandani mwake.+ Kisha akaandika ndoto hiyo;+ akaandika masimulizi kamili ya mambo hayo.
8 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza,+ mimi, Danieli, niliona maono, baada ya yale niliyoona mwanzoni.+