21 “Nikaendelea kutazama pembe hiyo ilipokuwa ikiwapiga vita watakatifu, nayo ilikuwa ikiwashinda,+ 22 mpaka Mzee wa Siku+ alipokuja na kuhukumu kwa faida ya watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi,+ na wakati uliowekwa ukafika wa watakatifu kuumiliki ufalme.+