Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 mpaka Mzee wa Siku+ alipokuja na kuhukumu kwa faida ya watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi,+ na wakati uliowekwa ukafika wa watakatifu kuumiliki ufalme.+

  • Mathayo 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia, katika uumbaji mpya, Mwana wa binadamu atakapoketi katika kiti chake cha ufalme chenye utukufu, ninyi ambao mmenifuata mtaketi katika viti vya ufalme 12, mkiyahukumu makabila 12 ya Israeli.+

  • Luka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, kama Baba yangu alivyofanya agano pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme, na wale walioketi kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale waliouawa* kwa sababu ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa sababu ya kusema kumhusu Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama wa mwituni au sanamu yake na ambao hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka 1,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki