Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usitufanye tuwajibike kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

      Tuonyeshe haraka rehema yako,+

      Kwa maana tumeshushwa chini sana.

       9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako tukufu;

      Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Isaya 63:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watu wako watakatifu waliimiliki kwa muda mfupi.

      Maadui wetu walipakanyaga-kanyaga mahali pako patakatifu.+

      19 Kwa muda mrefu sana tumekuwa kama watu ambao hukuwatawala kamwe,

      Kama watu ambao hawakuitwa kamwe kwa jina lako.

  • Yeremia 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa nini wewe ni kama mtu anayeshangaa,

      Kama mwanamume mwenye nguvu asiyeweza kuokoa?

      Kwa maana uko miongoni mwetu, Ee Yehova,+

      Nasi tumeitwa kwa jina lako.+

      Usituache.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki