Kumbukumbu la Torati 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa. Zaburi 136:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+ 2 Mshukuruni Mungu wa miungu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha, asiyempendelea yeyote+ na hakubali rushwa.
136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema;+Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+ 2 Mshukuruni Mungu wa miungu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.