Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu vya ndani,

      Na mfunge milango nyuma yenu.+

      Jificheni kwa muda mfupi

      Mpaka ghadhabu* itakapopita.+

  • Yoeli 2:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+

      Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

      32 Na kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokolewa;+

      Kwa maana kwenye Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwa na wale wanaosalimika,+ kama Yehova alivyosema,

      Waokokaji wanaoitwa na Yehova.”

  • Mathayo 24:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 kwa maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu+ ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa, hapana, wala haitatokea tena.+ 22 Kwa kweli, kama siku hizo hazingefupishwa, hakuna mwili wowote ambao ungeokolewa; lakini kwa sababu ya wale waliochaguliwa, siku hizo zitafupishwa.+

  • Ufunuo 7:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo mmoja wa wale wazee akaniuliza: “Hawa waliovaa kanzu nyeupe,+ ni nani nao walitoka wapi?” 14 Basi nikamwambia mara moja: “Bwana wangu, wewe ndiye unayejua.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale wanaotoka katika ile dhiki kuu,+ nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe katika damu ya Mwanakondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki