-
Ufunuo 7:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Ndipo mmoja wa wale wazee akaniuliza: “Hawa waliovaa kanzu nyeupe,+ ni nani nao walitoka wapi?” 14 Basi nikamwambia mara moja: “Bwana wangu, wewe ndiye unayejua.” Naye akaniambia: “Hawa ndio wale wanaotoka katika ile dhiki kuu,+ nao wamefua kanzu zao na kuzifanya nyeupe katika damu ya Mwanakondoo.+
-