Kumbukumbu la Torati 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti wangekuwa na hekima!+ Wangetafakari jambo hili.+ Wangefikiria mwisho wao.+ Isaya 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ng’ombe anamjua vizuri aliyemnunua,Na punda anaijua vizuri hori ya mmiliki wake;Lakini Israeli hanijui,*+Watu wangu mwenyewe hawatendi kwa uelewaji.” Amosi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameapa kwa Fahari ya Yakobo,+‘Sitasahau kamwe matendo yao yote.+
3 Ng’ombe anamjua vizuri aliyemnunua,Na punda anaijua vizuri hori ya mmiliki wake;Lakini Israeli hanijui,*+Watu wangu mwenyewe hawatendi kwa uelewaji.”