Isaya 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+ Mika 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
48 Sikieni hili, enyi watu wa nyumba ya Yakobo,Ninyi mnaojiita kwa jina la Israeli+Na ambao mmetoka katika maji ya Yuda,*Ninyi mnaoapa kwa jina la Yehova+Na mnaomwitia Mungu wa Israeli,Ingawa si katika kweli na uadilifu.+
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+