Hosea 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wamezama ndani sana katika maangamizi, kama ilivyokuwa kule Gibea.+ Atakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+ Amosi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ameapa kwa Fahari ya Yakobo,+‘Sitasahau kamwe matendo yao yote.+
9 Wamezama ndani sana katika maangamizi, kama ilivyokuwa kule Gibea.+ Atakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+