31 Na kana kwamba lilikuwa jambo dogo kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, hata alimwoa Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ akaanza kumwabudu Baali+ na kumwinamia.
13 Kwa maana miungu yenu imekuwa mingi kama majiji yenu, enyi watu wa Yuda, nanyi mmekitengenezea kitu cha aibu* madhabahu nyingi kama barabara zilizo Yerusalemu, madhabahu za kumtolea dhabihu Baali.’+