Ezekieli 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mwana wa binadamu, mwimbie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,* nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ulikuwa mfano wa ukamilifu,* Ulijaa hekima+ nawe ulikuwa na urembo mkamilifu.+
12 “Mwana wa binadamu, mwimbie mfalme wa Tiro wimbo wa huzuni,* nawe umwambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ulikuwa mfano wa ukamilifu,* Ulijaa hekima+ nawe ulikuwa na urembo mkamilifu.+