Hosea 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+ Hosea 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+ Amosi 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*
15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+ Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+
11 Kule Gileadi watu wametenda kwa udanganyifu*+ na uwongo. Huko Gilgali wametoa dhabihu za ng’ombe dume,+Na madhabahu zao ni kama marundo ya mawe katika mitaro iliyo shambani.+
5 Msitafute Betheli,+Msiende Gilgali+ wala msivuke kwenda Beer-sheba,+Kwa maana Gilgali hakika litapelekwa uhamishoni,+Na Betheli litaangamizwa.*