Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:28, 29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baada ya kushauriana, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Inachosha sana kwenu kupanda kwenda Yerusalemu. Ndiye huyu hapa Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewatoa nchini Misri.”+ 29 Kisha akamweka ndama mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+

  • Hosea 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ingawa mnafanya ukahaba,* enyi Waisraeli,+

      Watu wa Yuda wasiwe na hatia.+

      Msije Gilgali+ wala Beth-aveni,+

      Na msiape mkisema, ‘Kwa hakika kama Yehova anavyoishi!’+

  • Hosea 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ndama wenu amekataliwa, enyi watu wa Samaria.+

      Hasira yangu inawaka dhidi yao.+

      Wataendelea mpaka lini kushindwa kuwa bila hatia?*

  • Amosi 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Kwa maana siku nitakapowafanya Waisraeli wawajibike* kwa sababu ya maasi yao yote,*+

      Pia nitawafanya wawajibike kwa sababu ya madhabahu za Betheli;+

      Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka ardhini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki