“Jilimieni shamba linalofaa kwa kilimo,
Nanyi msiendelee kupanda kati ya miiba.+
4 Jitahirini kwa ajili ya Yehova,
Na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+
Ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu,
Ili ghadhabu yangu isiwake kama moto
Na iteketeze bila yeyote wa kuizima,
Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”+