Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeyote anayepanda uovu atavuna msiba,+

      Na fimbo ya ghadhabu yake itaangamia.+

  • Hosea 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana wanapanda upepo,

      Nao watavuna kimbunga.+

      Hakuna bua linalozaa nafaka iliyokomaa;+

      Bua lolote linalochipuka halitokezi unga.

      Unga wowote wanaopata, utamezwa na wageni.+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki