Kutoka 12:50, 51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Basi Waisraeli wote wakafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa na Haruni. Hivyo ndivyo walivyofanya. 51 Siku hiyohiyo, Yehova aliwatoa Waisraeli pamoja na makundi yao makubwa* kutoka katika nchi ya Misri. Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Uliwaongoza watu wako kama kundi la kondoo,+Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+
50 Basi Waisraeli wote wakafanya kama Yehova alivyomwamuru Musa na Haruni. Hivyo ndivyo walivyofanya. 51 Siku hiyohiyo, Yehova aliwatoa Waisraeli pamoja na makundi yao makubwa* kutoka katika nchi ya Misri.