Kumbukumbu la Torati 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Yehova Mungu wenu amewabariki katika mambo yote mliyofanya. Anajua vizuri kabisa safari yenu katika nyika hii kubwa. Yehova Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi kwa miaka hii 40, nanyi hamjakosa kitu chochote.”’+ Kumbukumbu la Torati 32:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wenu amewabariki katika mambo yote mliyofanya. Anajua vizuri kabisa safari yenu katika nyika hii kubwa. Yehova Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi kwa miaka hii 40, nanyi hamjakosa kitu chochote.”’+
9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+ 10 Alimpata katika nchi yenye nyika+Na katika jangwa tupu, lenye milio.+ Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+