19 Hata hivyo, watu wakakataa kusikiliza mambo ambayo Samweli aliwaambia, wakasema: “Hatutaki, tumeazimia kuwa na mfalme wa kututawala. 20 Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, na mfalme wetu atakuwa mwamuzi wetu, atatuongoza, na kupigana vita vyetu.”