13 Na bahari ikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi vikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, nao wakahukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+ 14 Na kifo na Kaburi vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto.+ Hilo linamaanisha kifo cha pili,+ lile ziwa la moto.+