-
Amosi 3:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 ‘Tangazeni jambo hilo kwenye minara ya Ashdodi yenye ngome
Na kwenye minara yenye ngome katika nchi ya Misri.
Semeni: “Kusanyikeni pamoja dhidi ya milima ya Samaria;+
Tazameni machafuko yaliyo ndani yake
Na ulaghai ulio ndani yake.+
10 Kwa maana hawajui kufanya yaliyo sawa,” asema Yehova,
“Wale wanaojikusanyia ukatili na maangamizi katika minara yao yenye ngome.”’
-