Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.

  • Amosi 3:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 ‘Tangazeni jambo hilo kwenye minara ya Ashdodi yenye ngome

      Na kwenye minara yenye ngome katika nchi ya Misri.

      Semeni: “Kusanyikeni pamoja dhidi ya milima ya Samaria;+

      Tazameni machafuko yaliyo ndani yake

      Na ulaghai ulio ndani yake.+

      10 Kwa maana hawajui kufanya yaliyo sawa,” asema Yehova,

      “Wale wanaojikusanyia ukatili na maangamizi katika minara yao yenye ngome.”’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki