Hosea 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambieni ndugu zenu, ‘Ninyi ni watu wangu!’*+ Na dada zenu, ‘Enyi wanawake mlioonyeshwa rehema!’*+ Waroma 9:25, 26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+ 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’”+ 1 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa wakati fulani ninyi hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ hamkuwa mmeonyeshwa rehema, lakini sasa mmeonyeshwa rehema.+
2 “Waambieni ndugu zenu, ‘Ninyi ni watu wangu!’*+ Na dada zenu, ‘Enyi wanawake mlioonyeshwa rehema!’*+
25 Ni kama anavyosema pia katika Hosea: “Wale ambao si watu wangu+ nitawaita ‘watu wangu,’ na mwanamke ambaye hakupendwa, nitamwita ‘mpendwa’;+ 26 na mahali ambapo waliambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ hapo wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’”+
10 Kwa kuwa wakati fulani ninyi hamkuwa watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ hamkuwa mmeonyeshwa rehema, lakini sasa mmeonyeshwa rehema.+