Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watamtumikia Yehova Mungu wao na Daudi mfalme wao, ambaye nitamweka juu yao.”+

  • Ezekieli 34:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami nitamweka mchungaji mmoja juu yao,+ mtumishi wangu Daudi,+ naye atawalisha. Yeye mwenyewe atawalisha na kuwa mchungaji wao.+ 24 Na mimi, Yehova, nitakuwa Mungu wao,+ na mtumishi wangu Daudi atakuwa kiongozi wao. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+

  • Ezekieli 37:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘“Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme wao,+ na wote watakuwa na mchungaji mmoja.+ Watatembea katika sheria zangu* na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.+ 25 Wataishi katika nchi niliyompa mtumishi wangu, Yakobo, ambamo mababu zenu waliishi,+ nao watakaa humo milele,+ wao na watoto* wao na watoto wa watoto wao;+ na mtumishi wangu Daudi atakuwa kiongozi* wao milele.+

  • Amosi 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ‘Siku hiyo nitakiinua kibanda cha Daudi+ kilichoanguka,*

      Nitarekebisha sehemu* zilizoharibika,

      Na kujenga upya magofu yake;

      Nitakijenga upya kama kilivyokuwa siku za kale,+

  • Luka 1:31-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! utapata mimba* na kuzaa mwana+ nawe utamwita Yesu.+ 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi,+ na Yehova* Mungu atampa kiti cha ufalme cha Daudi baba yake,+ 33 naye atatawala akiwa Mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na Ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki